Saturday 10 January 2009

Marais Wetu


Kutoka kushoto Mzee Ruksa, JK, Ben (Picha imechukuliwa kwenye internet)

Mambo yanakwenda mbarabara


Wanatumaini Angle (kushoto) na Tuma nao hawakutaka kukosa harusi ya Gondwe.

Chuma Machungwa kwenye Mchungwa-Profesa. Shao



Mara nyingi VC wa Tumaini, Prof Shao amekuwa akiwaasa wanatumaini kuchuma machungwa kwenye michungwa. Wanatumaini Gondwin Gondwe (Kushoto, anaye-shake na Berege) na Lucy Nyaki wametekeleza ushauri huo walipoamua kuanzisha familia.

Babu kubwa



Mhariri wa Michezo gazeti la Mwananchi, Andrew Kingamkono (kulia-mrefu) wakiwa na mdau wake wakipongezana kufanikisha harusi ya rafiki yao Godwin Gondwe. Kinga mkono na Gondwe wote ni wana IUCo, na Muolewa Lucy Nyaki naye Mwanatumaini mwenye asili ya Iringa (IUCo).

Wewe sasa Mzee wa Morogoro


Mzee Sales Berege (Late) akimkabidhi fimbo Waziri Mkuu Fredrick Sumaye (Wakati huo) kama ishara ya kumtawaza kuwa mmoja wa wazee wa mkoa huo. Wanaoshuhudia ni RC Morogoro Mussa Nkhangaa (wakati huo), Mbunge wa Mvomero, Sadiq Murad na wadau wengine.

Enzi hizo


Pozi ya kufungia tafrija ya kumaliza form six

Amani Centre



Wadau wa Kituo Cha Kuhudumia watoto wenye ulemavu wa Akili Morogoro wakijadili Jambo.

Sasa nimekuwa mtu mzima


Siku Head wa Journalism Department (IUCo), Julius Mtemahanji alipoupa kisogo Ukapera. Mkewe, Monica ni Mwanafunzi wa MBA IUCo.

Kiu ya habari

Founder Members of Tanzania Professionals Forum (TANPROFO)

Jamani tufuate mwelekeo huu!


Mgatta hakuwa nyuma kutoa maelekezo namna ya kuendesha chama

Sasa hili linakuwakuwaje wataalam


Dk. Chachage naye hakuwa nyuma kuchangia

Umoja ndiyo silaha yetu namba 1

.
Prof Komba wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCo) wakati wa kikao cha Chama Cha Wanataaluma Tanzania

Tukisimama imara tutafanikiwa

Jaji Mstaafu Reymond Mwaikasu akifungua kikao cha Chama cha Wanataaluma Tanzania ( Tanzania Professionals Forum) katika ukumbi wa chuo kikuu cha Ruaha Iringa kilichofanyika mwishoni mwa mwaka 2008. Wajumbe walichagua viongozi wa Muda ambao ni . Rtd Judge Raymond Mwaikasu (Mwenyekiti), Prof. Donatus Komba (Makamu mwenyekiti,Simon S. Berege (Katibu Mkuu-Pichani kulia kwa Jaji Mwaikasu), Wilson M. Ntulo (Naibu Katibu Mkuu, Dk. Bukaza Chachage (Katibu Mwenezi, Ildefons M. Chonya (Mhazini).

Jakaya Kikwete na Wanatumaini













Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa akiwa na wanatumaini muda mfupi baada ya kutoa muhadhara huhusu ushirikiano wa ushuru wa forodha wa nchi za Afrika Mashariki. (Picha kwa hisani ya Blogg ya Adeladius Makwega)