Saturday 10 January 2009

Tukisimama imara tutafanikiwa

Jaji Mstaafu Reymond Mwaikasu akifungua kikao cha Chama cha Wanataaluma Tanzania ( Tanzania Professionals Forum) katika ukumbi wa chuo kikuu cha Ruaha Iringa kilichofanyika mwishoni mwa mwaka 2008. Wajumbe walichagua viongozi wa Muda ambao ni . Rtd Judge Raymond Mwaikasu (Mwenyekiti), Prof. Donatus Komba (Makamu mwenyekiti,Simon S. Berege (Katibu Mkuu-Pichani kulia kwa Jaji Mwaikasu), Wilson M. Ntulo (Naibu Katibu Mkuu, Dk. Bukaza Chachage (Katibu Mwenezi, Ildefons M. Chonya (Mhazini).

1 comment:

WILSON NTULO said...

TANZANIA PROFESSIONALS FORUM IS FOR ALL TANZANIAN ACADEMICIANS TO JOIN.
WHY WAIT! JOIN US AND BECOME A MEMBER OR SIMPLY CALL +255767888664,+255757297629,+255715678864,+255784678864 FOR MORE INFORMATION

BY MR WILSON M.NTULO